Font Size
Mathayo 4:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 4:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
5 Kisha Shetani alimwongoza Yesu mpaka mji mtakatifu wa Yerusalemu na akamweka juu ya mnara wa Hekalu. 6 Akamwambia Yesu, “Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu, jirushe mpaka chini! Kwani Maandiko yanasema,
‘Mungu atawaamuru malaika zake wakusaidie,
na mikono yao itakupokea,
ili usije ukajikwaa mguu wako kwenye jiwe.’”(A)
7 Yesu akamjibu, “Pia, Maandiko yanasema, ‘usimjaribu Bwana Mungu wako.’”(B)
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International