Mathayo 3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana Atayarisha Njia kwa Ajili ya Yesu
(Mk 1:1-8; Lk 3:1-9,15-17; Yh 1:19-28)
3 Baadaye, kabla ya miaka mingi kupita, Yohana Mbatizaji alianza kuwahubiri watu ujumbe uliotoka kwa Mungu. Naye alihubiri kutokea maeneo ya nyikani huko Uyahudi. 2 Yohana alisema, “Tubuni na kuibadili mioyo yenu, kwa sababu ufalme wa Mungu umekaribia.” 3 Nabii Isaya alisema kuhusu habari za Yohana Mbatizaji pale aliposema,
“Kuna mtu anayeipaza sauti yake toka nyikani:
‘Tayarisheni njia kwa ajili ya Bwana;
nyoosheni njia kwa ajili yake.’”(A)
4 Huyo Yohana alivaa mavazi yaliyofumwa kutokana na manyoya ya ngamia. Naye alijifunga mkanda wa ngozi kuzunguka kiuno chake, na alikula nzige na asali mbichi. 5 Watu kutoka Yerusalemu na maeneo yote ya Uyahudi na wale kutoka maeneo yote yaliyo kando ya Mto Yordani walikwenda kwa Yohana Mbatizaji; 6 huko waliungama matendo yao mabaya kwake naye akawabatiza katika Mto Yordani.
7 Mafarisayo na Masadukayo wengi walikwenda kwa Yohana ili wabatizwe. Yohana alipowaona, akasema, “Enyi ninyi nyoka! Ni nani amewaonya kuikimbia hukumu ya Mungu inayokuja? 8 Muibadili mioyo yenu! Na muoneshe kwa vitendo kuwa mmebadilika. 9 Ninajua mnachofikiri. Mnataka akasema kuwa, ‘lakini Ibrahimu ni baba yetu!’ Hiyo haijalishi. Ninawaambia Mungu anaweza kumzalia Ibrahimu watoto kutoka katika mawe haya. 10 Shoka limewekwa tayari kukata shina la mti katika mizizi yake. Kila mti[a] usiozaa matunda mazuri utakatwa vivyo hivyo na kutupwa motoni.
11 Mimi ninawabatiza kwa maji kuonesha kuwa mmebadilika mioyoni mwenu na pia maishani mwenu. Lakini yupo mwingine ajaye baada yangu, mwenye nguvu zaidi kuliko mimi, huyo atafanya mengi zaidi yangu. Nami niliye mtumwa wa chini kabisa sistahili hata kuinama na kufungua kamba za viatu vyake. Yeye huyo atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto. 12 Naye atakuja akiwa tayari kwa ajili ya kuisafisha nafaka. Atatenganisha nafaka nzuri kutoka kwenye makapi,[b] na kisha ataiweka nafaka nzuri kwenye ghala yake. Kisha atayachoma makapi kwa moto usiozimika.”
Yohana Ambatiza Yesu
(Mk 1:9-11; Lk 3:21-22)
13 Ndipo Yesu alitoka Galilaya na kwenda Mto Yordani. Alikwenda kwa Yohana, akitaka kubatizwa. 14 Lakini Yohana alijaribu kumzuia. Yohana akamwambia Yesu, “Kwa nini unakuja kwangu ili nikubatize? Mimi ndiye ninayepaswa kubatizwa na wewe!”
15 Yesu akajibu, “Acha iwe hivyo kwa sasa. Tunapaswa kuyatimiza mapenzi ya Mungu.” Ndipo Yohana akakubali.
16 Hivyo Yesu akabatizwa. Mara tu aliposimama kutoka ndani ya maji, mbingu zilifunguka na akamwona Roho Mtakatifu akishuka kutoka mbinguni kama hua[c] na kutua juu yake. 17 Sauti kutoka mbinguni ikasema, “Huyu ni Mwanangu, nimpendaye. Ninapendezwa naye.”
Matthew 3
King James Version
3 In those days came John the Baptist, preaching in the wilderness of Judaea,
2 And saying, Repent ye: for the kingdom of heaven is at hand.
3 For this is he that was spoken of by the prophet Esaias, saying, The voice of one crying in the wilderness, Prepare ye the way of the Lord, make his paths straight.
4 And the same John had his raiment of camel's hair, and a leathern girdle about his loins; and his meat was locusts and wild honey.
5 Then went out to him Jerusalem, and all Judaea, and all the region round about Jordan,
6 And were baptized of him in Jordan, confessing their sins.
7 But when he saw many of the Pharisees and Sadducees come to his baptism, he said unto them, O generation of vipers, who hath warned you to flee from the wrath to come?
8 Bring forth therefore fruits meet for repentance:
9 And think not to say within yourselves, We have Abraham to our father: for I say unto you, that God is able of these stones to raise up children unto Abraham.
10 And now also the axe is laid unto the root of the trees: therefore every tree which bringeth not forth good fruit is hewn down, and cast into the fire.
11 I indeed baptize you with water unto repentance. but he that cometh after me is mightier than I, whose shoes I am not worthy to bear: he shall baptize you with the Holy Ghost, and with fire:
12 Whose fan is in his hand, and he will throughly purge his floor, and gather his wheat into the garner; but he will burn up the chaff with unquenchable fire.
13 Then cometh Jesus from Galilee to Jordan unto John, to be baptized of him.
14 But John forbad him, saying, I have need to be baptized of thee, and comest thou to me?
15 And Jesus answering said unto him, Suffer it to be so now: for thus it becometh us to fulfil all righteousness. Then he suffered him.
16 And Jesus, when he was baptized, went up straightway out of the water: and, lo, the heavens were opened unto him, and he saw the Spirit of God descending like a dove, and lighting upon him:
17 And lo a voice from heaven, saying, This is my beloved Son, in whom I am well pleased.
Matthew 3
English Standard Version
John the Baptist Prepares the Way
3 (A)In those days (B)John the Baptist came preaching in (C)the wilderness of Judea, 2 (D)“Repent, for (E)the kingdom of heaven is at hand.”[a] 3 For this is he who was spoken of by the prophet Isaiah when he said,
(F)“The voice of one crying in the wilderness:
(G)‘Prepare[b] the way of the Lord;
make his paths straight.’”
4 Now John wore (H)a garment of camel's hair and a leather belt around his waist, and his food was (I)locusts and (J)wild honey. 5 Then Jerusalem and all Judea and all the region about the Jordan were going out to him, 6 and they were baptized by him in the river Jordan, (K)confessing their sins.
7 But when he saw many of (L)the Pharisees and (M)Sadducees coming to his baptism, he said to them, (N)“You brood of (O)vipers! Who warned you to flee from (P)the wrath to come? 8 Bear fruit (Q)in keeping with repentance. 9 And do not presume to say to yourselves, (R)‘We have Abraham as our father,’ for I tell you, God is able from (S)these stones to raise up children for Abraham. 10 Even now the axe is laid to the root of the trees. (T)Every tree therefore that does not bear good fruit is cut down and thrown into the fire.
11 (U)“I baptize you with water (V)for repentance, but (W)he who is coming after me is mightier than I, whose sandals I am not worthy to carry. He will baptize you (X)with the Holy Spirit and (Y)fire. 12 His (Z)winnowing fork is in his hand, and he will clear his threshing floor and (AA)gather his wheat into the barn, (AB)but the chaff he will burn with (AC)unquenchable fire.”
The Baptism of Jesus
13 (AD)Then Jesus came (AE)from Galilee to the Jordan to John, to be baptized by him. 14 (AF)John would have prevented him, saying, “I need to be baptized by you, and do you come to me?” 15 But Jesus answered him, “Let it be so now, for thus it is fitting for us to fulfill all righteousness.” Then he consented. 16 And when Jesus was baptized, immediately he went up from the water, and behold, (AG)the heavens were opened to him,[c] and he (AH)saw the Spirit of God descending like a dove and coming to rest on him; 17 and behold, (AI)a voice from heaven said, (AJ)“This is my beloved Son,[d] with whom I am well pleased.”
Footnotes
- Matthew 3:2 Or the kingdom of heaven has come near
- Matthew 3:3 Or crying: Prepare in the wilderness
- Matthew 3:16 Some manuscripts omit to him
- Matthew 3:17 Or my Son, my (or the) Beloved
© 2017 Bible League International
The ESV® Bible (The Holy Bible, English Standard Version®), © 2001 by Crossway, a publishing ministry of Good News Publishers. ESV Text Edition: 2025.