Font Size
Mathayo 28:13-15
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 28:13-15
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
13 na kuwaambia, “Waambieni watu kuwa wafuasi wake walikuja usiku na kuuiba mwili mlipokuwa mmesinzia. 14 Gavana atakaposikia juu ya hili, tutazungumza naye ili msiadhibiwe.” 15 Hivyo wale askari wakachukua pesa na kuwatii makuhani. Na jambo hili[a] bado linasambaa miongoni mwa Wayahudi hata hivi leo.
Read full chapterFootnotes
- 28:15 jambo hili Uongo kuwa mwili wa Yesu uliibwa usiku na wafuasi wake.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International