Font Size
                  
                
              
            
Mathayo 28:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 28:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
12 Ndipo makuhani wakakutana na viongozi wazee wa Kiyahudi na kufanya mpango. Wakawalipa wale askari pesa nyingi 13 na kuwaambia, “Waambieni watu kuwa wafuasi wake walikuja usiku na kuuiba mwili mlipokuwa mmesinzia. 14 Gavana atakaposikia juu ya hili, tutazungumza naye ili msiadhibiwe.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) 
    © 2017 Bible League International