Font Size
                  
                
              
            
Mathayo 28:11-13
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 28:11-13
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Taarifa ya Kufufuka Yesu Yawafikia Viongozi wa Kiyahudi
11 Wanawake wakaenda kuwaambia wafuasi. Na wakati huo huo baadhi ya askari waliokuwa wanalinda kaburi waliingia mjini. Walikwenda kuwaambia viongozi wa makuhani kila kitu kilichotokea. 12 Ndipo makuhani wakakutana na viongozi wazee wa Kiyahudi na kufanya mpango. Wakawalipa wale askari pesa nyingi 13 na kuwaambia, “Waambieni watu kuwa wafuasi wake walikuja usiku na kuuiba mwili mlipokuwa mmesinzia.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) 
    © 2017 Bible League International