Font Size
Mathayo 27:54-56
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 27:54-56
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
54 Afisa wa jeshi na askari waliokuwa wanamlinda Yesu walitetemeka sana kwa kuogopa tetemeko la ardhi na kila walichokiona kikitokea. Wakasema, “Hakika alikuwa Mwana wa Mungu!”
55 Wanawake wengi waliomfuata Yesu kutoka Galilaya kumhudumia walikuwepo pale wakiangalia wakiwa wamesimama mbali na msalaba. 56 Miongoni mwao alikuwepo Mariamu Magdalena, Mariamu mama yao Yakobo na Yusufu na pia mama yao Yakobo na Yohana[a] alikuwepo pale.
Read full chapterFootnotes
- 27:56 Yakobo na Yohana Kwa maana ya kawaida, “wana wa Zebedayo”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International