Font Size
                  
                
              
            
Mathayo 26:23-25
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 26:23-25
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
23 Yesu akajibu, “Yeye aliyechovya mkate wake katika kikombe kile kile nilichochovya mimi ndiye atakayenisaliti. 24 Mwana wa Adamu atakiendea kifo chake kama Maandiko yanavyosema. Lakini ole wake mtu yule anayemsaliti Mwana wa Adamu ili auawe. Ni bora mtu huyo asingezaliwa.”
25 Ndipo Yuda, ambaye ndiye angemsaliti, akamwambia Yesu, “Mwalimu, hakika si mimi unayemzungumzia, ama ndiye?”
Yesu akamjibu, “hicho ndicho unachosema.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) 
    © 2017 Bible League International