Font Size
                  
                
              
            
Mathayo 26:20-22
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 26:20-22
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
20 Jioni ilipowadia, Yesu alikuwa ameketi mezani pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili. 21 Walipokuwa wakila Yesu akasema, “Niaminini, ninapowaambia kuwa mmoja wenu ninyi kumi na wawili atanikabidhi kwa maadui zangu.”
22 Wanafunzi walisikitika sana waliposikia hili. Kila mmoja akasema, “Bwana, hakika si mimi!”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) 
    © 2017 Bible League International