Font Size
Mathayo 2:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 2:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
3 Mfalme Herode aliposikia haya, yeye pamoja na watu wote wakaao Yerusalemu walikasirika sana. 4 Herode aliitisha mkutano wa wakuu wote wa makuhani wa Kiyahudi na walimu wa sheria. Akawauliza ni wapi ambapo Masihi angezaliwa. 5 Wakamjibu, “Ni katika mji wa Bethlehemu ya Yuda kama ambavyo nabii aliandika:
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International