Font Size
Mathayo 11:15-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 11:15-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
15 Ninyi watu mnaonisikia, sikilizeni!
16 Ninaweza kusema nini kuhusu watu wanaoishi leo? Watu siku ya leo ni kama watoto wanaokaa katika masoko. Kundi moja la watoto linaliambia kundi lingine,
17 ‘Tuliwapigia filimbi,
lakini hamkucheza;
tuliimba wimbo wa maziko,
lakini hamkuhuzunika.’
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International