Add parallel Print Page Options

Ibrahimu alikuwa baba yake Isaka.

Isaka alikuwa baba yake Yakobo.

Yakobo alikuwa baba wa Yuda na ndugu zake.

Yuda alikuwa baba wa Peresi na Zera. (Mama yao alikuwa Tamari.)

Peresi alikuwa baba yake Hezroni.

Hezroni alikuwa baba yake Ramu.

Ramu alikuwa baba yake Aminadabu.

Aminadabu alikuwa baba yake Nashoni.

Nashoni alikuwa baba yake Salmoni.

Read full chapter