Font Size
Mathayo 1:19-21
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 1:19-21
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
19 Kwa kuwa Yusufu alitaka kufanya kile kilichokuwa, alikusudia kumwacha Mariamu kwa siri bila ya kumvunjia heshima.
20 Lakini baada ya Yusufu kuliwazia jambo hili, Malaika wa Bwana alimjia katika ndoto na akamwambia, “Yusufu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Mariamu awe mke wako. Mimba aliyonayo ameipata kwa uweza wa Roho Mtakatifu. 21 Atamzaa mwana, nawe utamwita Yesu.[a] Utampa jina hilo Yesu kwa sababu yeye atawaokoa watu wake kutoka dhambi zao.”
Read full chapterFootnotes
- 1:21 Yesu Jina la Yesu maana yake “Bwana anayeokoa”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International