Font Size
Matendo Ya Mitume 8:25-27
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 8:25-27
Neno: Bibilia Takatifu
25 Nao wali pokwisha kutoa ushuhuda na kufundisha neno la Bwana, walirudi Yerusalemu; na walipokuwa wakisafiri walihubiri Habari Njema katika vijiji vingi vya Samaria.
Filipo Ambatiza Afisa Wa Ethiopia
26 Malaika wa Bwana alimwambia Filipo, “Nenda upande wa kusini kwenye ile barabara itokayo Yerusalemu kuelekea Gaza.” Hii ilikuwa barabara iendayo jangwani. 27 Filipo akaondoka akaenda. Wakati huo Mwethiopia mmoja, towashi, ambaye alikuwa waziri wa fedha wa Kandake, Malkia wa Ethiopia, alikuwa anarudi nyumbani baada ya kumwabudu Mungu huko Yerusalemu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica