Font Size
Matendo Ya Mitume 8:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 8:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Watu waliomcha Mungu walimzika Stefano na kumwombolezea sana. 3 Lakini Sauli alitaka kulianga miza kanisa kabisa. Akawa akienda kila nyumba akawaburura waamini, wanaume kwa wanawake, akawatia jela.
Injili Yahubiriwa Samaria
4 Wale waamini waliotawanyika walihubiri neno la Mungu kila mahali walipokuwa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica