Font Size
Matendo Ya Mitume 28:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 28:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Karibu na pwani ile, kulikuwa na shamba kubwa la gavana wa kisiwa kile aliyeitwa Publio. Huyu gavana alitukaribisha kwa ukarimu mkubwa, akatufanyia sherehe kwa muda wa siku tatu. 8 Baba yake Publio alikuwa mgonjwa amelala, ana homa kali na kuhara damu. Paulo akaenda kumwona, akamwekea mikono akamwombea; naye akapona. 9 Jambo hili lilipotokea, watu wote wa kisiwa kile wal iokuwa wagonjwa wakaja, nao wakaponywa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica