Font Size
Matendo Ya Mitume 24:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 24:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
14 Lakini nakiri mbele yako kuwa mimi namwabudu Mungu wa baba zetu kwa kufuata ile ‘Njia’ ambayo wao wanaiita dhehebu. Ninaamini kila kitu kilichoandikwa katika Sheria ya Musa na Mana bii 15 na ninalo tumaini kwa Mungu ambalo hata na wao wanaliku bali, kwamba kutakuwa na ufufuo wa wote, walio na haki na wasio na haki. 16 Kwa hiyo ninafanya kila jitihada kuishi nikiwa na dhamiri safi mbele za Mungu na mbele za wanadamu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica