Font Size
Matendo Ya Mitume 16:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 16:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Wali pofika kwenye mpaka wa Misia walijaribu kuingia wilaya ya Bithi nia lakini Roho wa Yesu hakuwaruhusu. 8 Kwa hiyo wakaendelea na safari kupitia Misia, wakafika Troa. 9 Usiku huo Paulo akaona katika ndoto, mtu wa Makedonia amesimama akimsihi, “Njoo Makedo nia ukatusaidie.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica