Font Size
Matendo Ya Mitume 15:28-30
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 15:28-30
Neno: Bibilia Takatifu
28 Kwa maana Roho Mtakatifu ameona vyema na sisi tume kubaliana tusiwatwike mzigo mkubwa zaidi ya mambo yafuatayo ambayo ni ya lazima: 29 kwamba msile cho chote kilichotolewa sadaka katika ibada za sanamu, kunywa damu, nyama ya wanyama wal ionyongwa; na muepukane na uasherati. Mkijitenga na mambo haya mtakuwa mmefanya vyema. Kwaherini.”
30 Wale wajumbe walipokwisha kuagwa, wakaondoka wakaenda Antiokia, wakakusanya ushirika wote wa waamini, wakawapa ile barua.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica