Font Size
Matendo Ya Mitume 14:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 14:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Mahubiri ya Injili huko Ikonio
14 Basi huko Ikonio Paulo na Barnaba waliingia pamoja katika sinagogi la Wayahudi. Wakahubiri kwa uwezo mkuu na umati mkubwa wa watu wakaamini, Wayahudi pamoja na watu wa mataifa mengine. 2 Lakini wale Wayahudi ambao hawakupokea neno la Mungu, waliwa chochea watu wa mataifa dhidi ya wale walioamini. 3 Paulo na Bar naba wakakaa huko kwa muda mrefu wakifundisha kwa ujasiri juu ya Bwana, ambaye alithibitisha kuwa mahubiri yao yalikuwa ni neno la neema yake; akawapa uwezo wa kutenda ishara na maajabu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica