Matendo 9:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
7 Wanaume waliokuwa wanasafiri pamoja na Sauli walisimama pale kimya. Waliisikia sauti, lakini hawakumwona yeyote. 8 Sauli alisimama kutoka chini na kufumbua macho yake, lakini hakuweza kuona. Hivyo wale aliokuwa nao wakamshika mkono na kumwongoza kuingia Dameski. 9 Kwa siku tatu Sauli hakuweza kuona; hakula wala kunywa.
Read full chapter
Acts 9:7-9
New International Version
7 The men traveling with Saul stood there speechless; they heard the sound(A) but did not see anyone.(B) 8 Saul got up from the ground, but when he opened his eyes he could see nothing.(C) So they led him by the hand into Damascus. 9 For three days he was blind, and did not eat or drink anything.
© 2017 Bible League International
Holy Bible, New International Version®, NIV® Copyright ©1973, 1978, 1984, 2011 by Biblica, Inc.® Used by permission. All rights reserved worldwide.
NIV Reverse Interlinear Bible: English to Hebrew and English to Greek. Copyright © 2019 by Zondervan.
