Add parallel Print Page Options

Wanaume waliokuwa wanasafiri pamoja na Sauli walisimama pale kimya. Waliisikia sauti, lakini hawakumwona yeyote. Sauli alisimama kutoka chini na kufumbua macho yake, lakini hakuweza kuona. Hivyo wale aliokuwa nao wakamshika mkono na kumwongoza kuingia Dameski. Kwa siku tatu Sauli hakuweza kuona; hakula wala kunywa.

Read full chapter

The men traveling with Saul stood there speechless; they heard the sound(A) but did not see anyone.(B) Saul got up from the ground, but when he opened his eyes he could see nothing.(C) So they led him by the hand into Damascus. For three days he was blind, and did not eat or drink anything.

Read full chapter