Font Size
Matendo 9:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Matendo 9:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
5 Sauli akasema, “Wewe ni nani, Bwana?”
Sauti ikajibu, “Mimi ni Yesu, unayemtesa. 6 Simama sasa na uingie mjini. Mtu mmoja huko atakueleza unachopaswa kufanya.”
7 Wanaume waliokuwa wanasafiri pamoja na Sauli walisimama pale kimya. Waliisikia sauti, lakini hawakumwona yeyote.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International