Font Size
Matendo 9:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Matendo 9:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Sauli Awa Mfuasi wa Yesu
9 Huko Yerusalemu Sauli aliendelea kuwatisha wafuasi wa Bwana, na hata kuwaambia kuwa angewaua. Alikwenda kwa kuhani mkuu, 2 na kumwomba aandike barua kwenda kwenye masinagogi yaliyokuwa katika mji wa Dameski. Sauli alitaka kuhani mkuu ampe mamlaka ya kuwatafuta watu katika mji wa Dameski waliokuwa wafuasi wa Njia ya Bwana.[a] Ikiwa angewapata waamini huko, wanaume au wanawake, angewakamata na kuwaleta Yerusalemu.
Read full chapterFootnotes
- 9:2 Njia ya Bwana Ni maneno yaliyotumika ili kuainisha tabia na mafundisho ya Yesu.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International