Font Size
Matendo 26:31-32
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Matendo 26:31-32
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
31 na kuondoka chumbani. Walikuwa wanaongea wenyewe. Walisema, “Mtu huyu hajafanya chochote kinachostahili kuuawa au kuwekwa gerezani.” 32 Kisha Agripa akamwambia Festo, “Tungemwachia huru, lakini ameomba kumwona Kaisari.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International