Font Size
Matendo 25:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Matendo 25:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
12 Festo alijadiliana na washauri wake kuhusu hili. Kisha akasema, “Umeomba kumwona Kaisari, basi utakwenda kwa Kaisari!”
Festo Amwuliza Mfalme Agripa Kuhusu Paulo
13 Siku chache baadaye Mfalme Agripa pamoja na dada yake aliyeitwa Bernike[a] walikuja Kaisaria kumtembelea Festo. 14 Walikaa huko kwa siku nyingi, na Festo akamwambia mfalme kuhusu kesi ya Paulo. Festo alisema, “Kuna mtu ambaye Feliki alimwacha gerezani.
Read full chapterFootnotes
- 25:13 Bernike Dada yake Mfalme Agripa, binti mkubwa wa Herode Agripa wa Kwanza.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International