Font Size
Matendo 19:11-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Matendo 19:11-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Wana wa Skewa
11 Mungu alimtumia Paulo kufanya miujiza ya kipekee. 12 Baadhi ya watu walichukua vitambaa vya mkononi na nguo zilizovaliwa na Paulo na kuziweka juu ya wagonjwa. Wagonjwa waliponywa na pepo wabaya waliwatoka watu.
Read full chapter
Matendo 19:11-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Matendo 19:11-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Wana wa Skewa
11 Mungu alimtumia Paulo kufanya miujiza ya kipekee. 12 Baadhi ya watu walichukua vitambaa vya mkononi na nguo zilizovaliwa na Paulo na kuziweka juu ya wagonjwa. Wagonjwa waliponywa na pepo wabaya waliwatoka watu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International