Font Size
Matendo 16:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Matendo 16:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Timotheo Afuatana na Paulo na Sila
16 Paulo alikwenda Derbe kisha Listra, ambako mfuasi wa Yesu aliyeitwa Timotheo aliishi. Mamaye Timotheo alikuwa mwamini wa Kiyahudi, lakini baba yake alikuwa Myunani. 2 Waamini katika miji ya Listra na Ikonia walimsifu Timotheo kwa mambo mema.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International