Font Size
Matendo 15:28-30
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Matendo 15:28-30
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
28 Imempendeza Roho Mtakatifu na sisi kwamba tusiwatwishe mizigo ya ziada, isipokuwa kwa mambo haya ya muhimu:
29 Msile chakula kilichotolewa kwa sanamu.
Msile nyama inayotokana na wanyama walionyongwa au nyama ambayo bado ina damu ndani yake.
Msijihusishe na uzinzi.
Mkijitenga na mambo haya, mtakuwa mnaenenda vyema.
Wasalamu.
30 Hivyo Paulo, Barnaba, Yuda, na Sila waliondoka Yerusalemu na kwenda Antiokia. Walipofika huko walilikusanya kundi la waamini pamoja na wakawapa barua.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International