Font Size
Matayo 9:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 9:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Amponya Mtu Aliyepooza
9 Yesu akaingia katika mashua akavuka ziwa, akafika katika mji wa kwao. 2 Watu wakamletea mtu aliyepooza, akiwa amelazwa kwenye kitanda chake. Yesu alipoona imani yao, akamwambia yule mtu ali yepooza, “Mwanangu, jipe moyo; dhambi zako zimesamehewa.” 3 Baadhi ya walimu wa sheria wakawaza moyoni mwao, “Huyu mtu anakufuru!”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica