Font Size
Matayo 5:31-33
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 5:31-33
Neno: Bibilia Takatifu
31 “Pia mliambiwa kwamba, ‘Mtu ye yote anayemwacha mkewe ampe talaka.’ 32 Lakini mimi nawaambia, ye yote atakayempa mkewe talaka isipokuwa kwa kosa la uasherati, anamfanya mkewe mzinzi. Na ye yote atakayemwoa mwanamke aliyepewa talaka anazini.”
Mafundisho Kuhusu Kuapa
33 “Tena mmesikia watu wa kale waliambiwa kwamba, ‘Usi vunje kiapo chako bali umtimizie Mungu kama ulivyoapa kutenda.’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica