Font Size
Matayo 4:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 4:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
11 Ndipo shetani akamwacha, na malaika wakaja wakamhu dumia.
Yesu Aanza Kuhubiri
12 Yesu aliposikia kwamba Yohana Mbatizaji alikuwa ameka matwa na kuwekwa gerezani, alirudi Galilaya. 13 Akaondoka Nazareti akaenda kuishi Kapernaumu karibu na ziwa, katika eneo la Zabuloni na Naftali.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica