Font Size
Matayo 27:24-26
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 27:24-26
Neno: Bibilia Takatifu
24 Pilato alipoona kwamba hakuna zaidi ambalo angeweza kufa nya na kwamba ghasia ilikuwa ikianza, akachukua maji, akanawa mikono mbele yao, akasema, “Sina hatia na damu ya mtu huyu. Jambo hili ni juu yenu.”
Jambo hili ni juu yenu.”
25 Watu wote wakajibu, “Damu yake na iwe juu yetu na juu ya watoto wetu!”
26 Basi akawafungulia Baraba, na baada ya kuamuru Yesu apigwe viboko, akamtoa asulubiwe.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica