Font Size
Matayo 26:46-48
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 26:46-48
Neno: Bibilia Takatifu
46 Amkeni, twendeni! Yule anayenisaliti atafika sasa hivi!”
Yesu Akamatwa
47 Alipokuwa anazungumza, Yuda, mmojawapo wa wale kumi na wawili, akafika,akifuatana na umati wa watu wenye mapanga na mar ungu. Walikuwa wametumwa na makuhani wakuu na wazee wa watu.
48 Yuda alikuwa amepatana na hao watu kuwa, ‘Nitakayembusu ndiye, mkamateni.’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica