Font Size
Matayo 26:41-43
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 26:41-43
Neno: Bibilia Takatifu
41 Kesheni muombe, msije mkaingia katika majaribu. Kwa maana roho i radhi lakini mwili ni dhaifu.” 42 Akaenda tena mara ya pili, akaomba, “Baba yangu, kama haiwezekani kikombe hiki kion dolewe pasipo mimi kukinywea, mapenzi yako yafanyike.” 43 Ali porudi tena aliwakuta wamelala kwa maana macho yao yalikuwa mazito.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica