Font Size
Matayo 26:25-27
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 26:25-27
Neno: Bibilia Takatifu
25 Kisha Yuda, yule ambaye alimsaliti akasema, “Ni mimi, Bwana?” Yesu akamjibu, “Umetamka mwenyewe.”
Bwana?” Yesu akamjibu, “Umetamka mwenyewe.”
26 Walipokuwa wanakula, Yesu akachukua mkate, akashukuru, akaumega, akawapa wanafunzi wake akisema, “Chukueni mle; huu ni mwili wangu.” 27 Kisha akachukua kikombe, akashukuru, akawapa akisema, “Kunyweni nyote katika kikombe hiki.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica