Font Size
Matayo 24:26-28
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 24:26-28
Neno: Bibilia Takatifu
26 “Kwa hiyo wakiwaambia, ‘Yule kule nyikani,’ msitoke. Au wakisema, ‘Yuko chumbani 27 Kwa maana kama vile umeme unavyotokea mashariki na kuangaza mpaka magharibi, ndivyo itakavyokuwa kuja kwangu mimi Mwana wa Adamu. 28 Kwa maana po pote ulipo mzoga, ndipo wakusanyikapo tai.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica