Font Size
Matayo 21:43-45
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 21:43-45
Neno: Bibilia Takatifu
43 Kwa hiyo ninawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na watapewa watu wawezao kutoa matunda yake.” [ 44 “Na ambaye ataanguka kwenye jiwe hili atavunjika vipande vipande, lakini yule litakayemwangukia atasagika sagika.”]
45 Makuhani wakuu na Mafarisayo waliposikia mifano yake, walitambua kuwa alikuwa akiwasema wao.
Read full chapter
Matayo 21:43-45
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 21:43-45
Neno: Bibilia Takatifu
43 Kwa hiyo ninawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na watapewa watu wawezao kutoa matunda yake.” [ 44 “Na ambaye ataanguka kwenye jiwe hili atavunjika vipande vipande, lakini yule litakayemwangukia atasagika sagika.”]
45 Makuhani wakuu na Mafarisayo waliposikia mifano yake, walitambua kuwa alikuwa akiwasema wao.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica