Font Size
Matayo 2:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 2:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
3 Mfalme Herode alipopata habari hizi alifadhaika sana na watu wote wa Yerusalemu wakawa na hali ya wasiwasi. 4 Herode akaitisha mkutano wa makuhani wakuu na waandishi, akawataka wamweleze mahali ambapo Kristo angezaliwa.
5 Wakamjibu, “Atazaliwa Betlehemu ya Yudea, kwa maana nabii aliandika hivi kuhusu jambo hili:
Read full chapter
Matayo 2:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 2:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
3 Mfalme Herode alipopata habari hizi alifadhaika sana na watu wote wa Yerusalemu wakawa na hali ya wasiwasi. 4 Herode akaitisha mkutano wa makuhani wakuu na waandishi, akawataka wamweleze mahali ambapo Kristo angezaliwa.
5 Wakamjibu, “Atazaliwa Betlehemu ya Yudea, kwa maana nabii aliandika hivi kuhusu jambo hili:
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica