Font Size
Matayo 15:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 15:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 ‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami. 9 Kuniabudu kwao ni bure, na mafundisho yao ni maagizo ya wanadamu.’ ”
Usafi Wa Kweli
10 Yesu akaita ule umati wa watu akawaambia, “Sikilizeni kwa makini na mwelewe:
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica