Font Size
Matayo 12:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 12:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 kwa maana Mwana wa Adamu ni Bwana wa sabato.”
Yesu Anamponya Mtu Aliyepooza Mkono
9 Yesu alipoondoka hapo, aliingia katika sinagogi lao. Huko alikuwepo mtu aliyepooza mkono . 10 Wakitafuta sababu ya kumsh taki, wakamwuliza, “Je, ni halali kuponya siku ya sabato?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica