Font Size
Matayo 12:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 12:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Nawaambieni wazi kwamba, aliye mkuu kuliko Hekalu yupo hapa. 7 Na kama mngalifahamu maana ya maneno haya, ‘Ninataka rehema wala si sadaka ya kuteketezwa;’ msingeliwalaumu watu wasio na hatia, 8 kwa maana Mwana wa Adamu ni Bwana wa sabato.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica