Font Size
Matayo 11:28-30
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 11:28-30
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Awaita Waliolemewa Na Mizigo
28 “Njooni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. 29 Jifungeni nira yangu; jifunzeni kutoka kwangu; kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtapata raha nafsini mwenu. 30 Kwa maana nira yangu ni rahisi, na mzigo wangu ni mwepesi.”
Read full chapter
Matayo 11:28-30
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 11:28-30
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Awaita Waliolemewa Na Mizigo
28 “Njooni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. 29 Jifungeni nira yangu; jifunzeni kutoka kwangu; kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtapata raha nafsini mwenu. 30 Kwa maana nira yangu ni rahisi, na mzigo wangu ni mwepesi.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica