Font Size
Matayo 10:24-25
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 10:24-25
Neno: Bibilia Takatifu
24 “Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu wake wala mtumishi hamzidi bwana wake. 25 Inatosha ikiwa mwanafunzi atakuwa kama mwalimu wake na mtumishi kama bwana wake. Ikiwa wamethubutu kum wita bwana mwenye nyumba Beelzebuli, je, si watawasema vibaya zaidi jamaa ya mwenye nyumba?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica