Font Size
Marko 9:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 9:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
10 Wakatii agizo hilo, lakini wakawa wanajadiliana kati yao maana ya ‘Kufufuka kutoka kwa wafu.’ 11 Wakamwuliza, “Kwa nini walimu wa sheria husema kwamba ni lazima Eliya aje kwanza kabla mambo haya hayajatokea?’ ’ 12 Yesu akawajibu, “Ni kweli, Eliya anakuja kwanza kusawazisha mambo yote. Hata hivyo, mbona imeandikwa kwamba Mimi, Mwana wa Adamu ni lazima niteseke sana na kudharauliwa?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica