Font Size
Marko 8:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 8:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
Chachu Ya Mafarisayo Na Ya Herode
14 Wanafunzi walikuwa wamesahau kuleta mikate ya kutosha. Walikuwa na mkate mmoja tu kwenye mashua. 15 Yesu akawaonya: “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na ya Herode.”
16 Wakaanza kujadiliana wao kwa wao wakasema,“Anasema hivi kwa kuwa hatukuleta mikate.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica