Yesu Afufuka Kutoka Kwa Wafu

16 Sabato ilipomalizika, Mariamu Magdalena na Mariamu mama yake Yakobo na Salome walinunua manukato ili wakaupake mwili wa Yesu. Asubuhi na mapema, siku ya Jumapili, walikwenda kaburini jua likiwa linaanza kuchomoza. Njiani wakawa wanaulizana, “Ni nani atatuondolea lile jiwe kwenye mlango wa kaburi?” Lakini walipotazama, wakaona jiwe lile, ambalo lilikuwa kubwa sana, limekwisha ondolewa.

Walipoingia kaburini, walimwona kijana amekaa upande wa kulia akiwa amevaa vazi jeupe. Wakashtuka. Yule mtu akawaambia, “Msishtuke. Mnamtafuta Yesu Mnazareti, aliyesulubiwa. Amefufuka! Hayuko hapa! Tazameni mahali alipokuwa amelazwa.

Lakini nendeni mkawaambie wanafunzi wake, na Petro, kwamba anatangulia kwenda Galilaya na huko mtamwona, kama alivyowaam bia.” Wale wanawake wakiwa wanashangaa na kutetemeka kwa hofu, wakatoka pale kaburini mbio! Hawakumweleza mtu ye yote jambo lo lote kwa maana walikuwa wanaogopa.

Yesu Anamtokea Mariamu Magdalena

Baada ya Yesu kufufuka, alimtokea kwanza Mariamu Mag dalena, yule aliyemtoa pepo saba. 10 Mariamu akaenda akawaambia wale waliokuwa wakifuatana na Yesu. Wakati huo walikuwa bado wanalia na kuomboleza. 11 Lakini waliposikia kwamba Yesu yu hai na kwamba Mariamu alikuwa amemwona, hawakuamini.

Yesu Awatokea Wanafunzi Wawili

12 Baadaye Yesu aliwatokea kwa namna nyingine wanafunzi wawili walipokuwa wakienda shamba. 13 Nao pia walirudi wakawaam bia wenzao. Lakini pia hawakuamini.

Yesu Anawatokea Wale Wanafunzi Kumi Na Mmoja

14 Mwishowe, Yesu aliwatokea wale wanafunzi kumi na mmoja, wakiwa wanakula chakula. Akawakemea kwa kutokuamini kwao na kwa ugumu wa mioyo yao uliowafanya wakatae kuwasadiki wale waliomwona baada ya kufufuka.

15 Akawaambia, “Nendeni ulimwenguni kote, mkawahubirie watu wote Habari Njema. 16 Ye yote atakayeamini na kubatizwa ataoko lewa. Lakini ye yote ambaye atakataa kuamini, atahukumiwa.

17 “Na hizi ndizo ishara zitakazoandamana na wale wata kaoamini: Kwa kutumia jina langu watafukuza pepo; watasema kwa lugha mpya; 18 wataweza hata kuwakamata nyoka na kunywa sumu lakini wasidhurike; watawawekea wagonjwa mikono, nao watapona.”

Yesu Apaa Kwenda Mbinguni

19 Yesu alipokwisha kuwaambia maneno haya, alichukuliwa juu mbinguni, akaketi upande wa kulia wa Mungu.

耶稣从死里复活的消息

16 安息日一过,马利亚抹大拉,雅各的母亲马利亚和撒罗米买好了香料,要去给耶稣涂油。 星期日一大早,太阳刚刚升起,她们就到耶稣的坟上去了。 她们彼此说道∶“谁来替我们把墓穴口的大石头滚开呢?”

她们抬头看时,发现那块巨石已经被人滚开了。 她们走进墓穴,只见一个穿白袍的青年男子坐在墓穴的右边,这情形把她们吓了一跳。

那人对她们说∶“不要怕。你们是来找那个被钉死在十字架上的拿撒勒人耶稣的吧。他不在这里了,他已经复活了。你们看看安放过他的地方。 现在你们回去吧,告诉他的门徒们,一定要告诉彼得,对他们说∶‘耶稣将在你们之前赶到加利利。你们会在那里见到他的,就像他过去告诉过你们的那样。’”

这几个女子实在是又惊又怕,赶紧从坟墓出来跑掉了。她们没有对任何人说起这件事,因为她们都很害怕。

(一些早期希腊本此书到此结束。)

一些门徒见到耶稣

耶稣在星期日清晨复活以后,首先出现在抹大拉的马利亚面前。耶稣曾经从她身上赶走了七个鬼。 10 马利亚看到耶稣后,便把这件事讲给了那些曾经和耶稣在一起的人听。那些人正在为耶稣的死感到万分的难过,痛哭失声。 11 当马利亚告诉他们耶稣还活着,而且还见到他了,门徒们都不相信。

12 此后,有两个门徒在乡下赶路的时候,耶稣出现了在他们面前。但看上去与被害之前不太一样。 13 他们回来把此事报告给了其他人,可是还是没有人相信他们的话。

耶稣对门徒们讲话

14 后来,在十一个门徒吃饭的时候,耶稣出现了。他责备他们既缺乏信仰,又固执,因为他们不相信在他复活后又看见过他的人。

15 耶稣对门徒们说∶“你们到全世界去,把福音传播给每一个人。 16 那些相信福音并接受洗礼的人必会得救;不相信的人必被定罪。 17 这些神迹将伴随着相信的人:他们将以我的名义驱鬼;他们将说新的语言; 18 他们将用手抓住蛇;他们喝了任何毒物都将安然无恙;当他们把手按在病人身上时,就能使病人痊愈。”

耶稣返回天堂

19 主耶稣说完这番话,就被接到天堂,坐在上帝的右边。 20 门徒们到世界各地去告诉人们福音,主和他们一同工作。主用伴随着道的神迹,以证实他们所传的道。