Font Size
Marko 14:32-34
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 14:32-34
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Aomba Akiwa Peke Yake
(Mt 26:36-46; Lk 22:39-46)
32 Kisha wakafika mahali palipoitwa Gethsemane. Hapo Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kaeni hapa wakati ninaomba.” 33 Naye Yesu akamchukua Petro, Yakobo, na Yohana pamoja naye, naye akaanza kusumbuka sana. 34 Akawaambia, “Nina huzuni sana na ninafikiri inaweza kuniua. Kaeni hapa, na mjihadhari.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International