Font Size
Marko 13:31-33
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 13:31-33
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
31 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
32 Hakuna anayejua wakiwemo malaika wa mbinguni ama Mwana bali baba peke yake lini siku au saa ile itakapowadia. 33 Mjihadhari; Kesheni! Kwani hamjui lini muda huo utafika.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International