Font Size
Marko 13:31-33
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 13:31-33
Neno: Bibilia Takatifu
31 Mbingu na nchi zita toweka, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.”
Hakuna Ajuaye Siku Wala Saa
32 “Hakuna ajuaye siku hiyo itakuwa lini au saa ngapi; hata malaika mbinguni hawajui wala mimi Mwana sijui, isipokuwa Mungu Baba peke yake. 33 “Jiandaeni, muwe macho. Kwa maana hamjui wakati mambo haya yatakapotokea.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica