Font Size
Marko 8:27-29
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 8:27-29
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Petro Atambua Yesu ni Nani
(Mt 16:13-20; Lk 9:18-21)
27 Yesu na wanafunzi wake walikwenda kwenye vijiji vinavyozunguka Kaisaria Filipi. Wakiwa njiani aliwauliza wanafunzi wake, “Watu wanasema mimi ni nani?”
28 Nao wakamjibu, “Yohana Mbatizaji. Wengine husema wewe ni Eliya. Na wengine husema wewe ni mmoja wa manabii.”
29 Kisha akawauliza wao, “Na ninyi; Je! Mnasema mimi ni nani?”
Petro akamjibu, “Wewe ni masihi.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International