Font Size
Marko 3:13-19
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 3:13-19
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Achagua Mitume Kumi Na Wawili
13 Yesu alipanda mlimani akawaita wale aliowataka, nao wakaja. 14 Akawachagua kumi na wawili wafuatane naye na awatume kuhubiri na 15 wawe na mamlaka ya kufukuza pepo. 16 Hawa ndio aliowachagua: Simoni, ambaye alimwita Petro, 17 Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo ambao aliwaita Boanerge, yaani wana wa ngurumo; 18 Andrea; Filipo; Bartholomayo; Mathayo; Tomaso; Yakobo, mwana wa Alfayo; Thadayo; Simoni, Mkanaani; na 19 Yuda
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica